Thursday, February 26, 2015
NOMA SANA, HII NDO BAISKELI YA MITI YENYE KILA KITU KAMA BAISKELI NYINGINE
Baiskeli hii ni noma sana, imetengenezwa na mtu ambaye pia ni noma kwa kufikiria duuh ni hatari sana. Inasadikiwa kuwa baiskeli hii ina uwezo kukimbia kama baiskeli nyingine bila ya kuharibika kitu chochote. Pia baiskeli hii ni ya gia kwa hiyo kwenye mlima hakuna haja ya kushuka kazi yako wewe ni kubadili tuu gia ili iendane na maeneo iliopo. Duuh!!! ubunifu ni noma sana, Nawe kuwa mbunifu.
Labels:
Udaku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment