Friday, October 31, 2014

ZIFUATAZO NI ATHARI ZA KUZUIA CHAFYA

1) Husababisha mishipa ya kichwani kupasuka.
2) Pia huweza kusababisha kifo.
3) Husababisha mtu kutoa makamasi yenye damu kutokana na mishipa ya kichwani kupasuka.

N:B Si vizuri kuzuia chafya, pindi upatapo chafya tafadhali iache chafya ichukue nafasi yake kwani ukiizua utapa athari nyingi zaidi ya hizo.
#Asante!!!

No comments:

Post a Comment