Tuesday, November 25, 2014

DIAMOND KUMUOA ZARI THE BOSS LADY

Marafiki wa karibu wa Diamond na Zari the boss lady wamechonga kimtindo na baadhi ya waandishi wa habari kuwa, mtu mzima Diamond na Zari the boss lady wanatarajia kufunga ndoa mwezi ujao.
Harusi hiyo ambayo wanasema kwamba haitoweza kufanyika Tz wala Ug ila wanampango wa harusi hiyo kwenda kufanyika mbele (mamtoni) kimtindo mtindo kwenda kula bata na wanyamwezi wa mbele.
"Hayo ndo yaliyojiri, so mtu mzima kama vipi nawe anza kujichanga tuelekee mbele kwenye harusi ya mshikaji na goma lake".
(Haya maneno yaliyowekewa fungua semi " na funga semi " yamenukuliwa kutoka kwa rafiki mmoja wa diamond alipokuwa anahojiwa kimtindo na baadhi ya waandishi wa udaku)

No comments:

Post a Comment