Thursday, February 5, 2015

FROLA MBASHA AFUNGUKA KUHUSU MTOTO ALIYEJIFUNGUA

Msanii wa Injili Frola Mbasha, amefunguka kuwa mtoto aliyejifungua ni mtoto wa mumewe Emmanueli Mbasha na wala sio mtoto wa mchungaji Gwajima. Frola Mbasha amesema kuwa, anataka watu wajue kuwa mtoto wa ni wa mumewe kwa hiyo wasizushe habari wasisizo zijua. Frola Mbasha pia amesema kwamba, hawezi kuzungumzia chochote kuhusu mumewe kwani mumewe kwa sasa ana jeuri ya pesa ndo inayomchanganya".

No comments:

Post a Comment