Sunday, February 8, 2015
WIZ KHALIFA KUMFUNDISHA DIDDY KUSMOKE WEED
Mtu mzima Wiz Khalifa ameamua kumfundisha besti wake wa karibu DIDDY jinsi ya kuvuta WEED. Juzi kati mtu mzima Diddy alipost kwenye ukurasa wake wa Facebook kw kumpongeza mu mzima Wiz Khalifa kwa kumfundisha kuvuta WEEDY.
Mabesti wa karibu wa Wiz Khalifa walisema kwamba, Mtu yeyote atayekuwa karibu na Wiz bhasi ni lazima afundishwe kuvuta WEEDY kwa sababu WEEDY ndio starehe kubwa ya Wiz maishani kwake. Pia mabesti hao waliongezea kwa kusema kwamba, siku Wiz akiwa na furaha sana huweza kuvuta WEEDY zaidi ya kilo Mbili.
Labels:
Udaku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment