Mwili wa marehemu Mez B utapumzishwa kwenye nyumba yake ya milele huko mjini Dodoma kwenye makaburi ya WAHANGA yaliopo Maili mbili mjini Dodoma. Marehemu Mez B anapewa heshima yake ya mwisho kwenye uwanja wa Mashujaa.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi, Amen.
No comments:
Post a Comment