Thursday, November 20, 2014

BREAKING NEWS: POLISI AHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFARIKI

Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imemhukumu kunyongwa hadi kufa polisi wa upelelezi, Maduhu, F 5842, aliyekuwa akikabiliwa na shitaka la mauaji ya mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU), Daniel Mwakyusa baada ya kumpiga kwa kutumia silaha inayodhaniwa kuwa ni bunduki.

No comments:

Post a Comment