Tuesday, November 25, 2014

JAGUAR KUTUA BONGO KUMUONA IRENE UWOYA

Msanii kutoka Kenya Jaguar ameweka nia ya kuja bongo kumuona Irene Uwoya kabla ya mwaka huu kuisha.
Jaguar pia amefunguka kuwa hatokuja kumuona tuu Irene Uwoya bali pia ataenda kuwaona wazazi wake Irene kwani anamkubali sana mtoto wao Irene.

No comments:

Post a Comment