Thursday, October 30, 2014

MWANAFUNZI AFARIKI

Mwanafunzi mmoja wa darasa la pili katika shule ya msingi Nyamikoma wilayani Butiani mkoani Mara, amefariki baada ya kugongwa na gari aina ya prado yenye namba ya usajili T 767 dbx kisha kupaa na kuvamia nyumba ya mashine katika eneo hilo la pida wilayani humo.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema pepono Amen.

No comments:

Post a Comment