Sunday, January 18, 2015

DUUH!!! KUMBE NDOMANA RICK ROSS KAFANYA KAZI NA K-MICHELLE

Inasadikiwa kwamba sababu iliyomfanya  mtu mzima Rick Ross kufanya kazi na mwanamziki K-Michelle ni kwa sababu ya umbo la mwanadada huyo. Duuh!! majarida mbalimbali nchini America yalimnukuu Rick Ross baada ya kuulizwa ni kitu kilimvutia hadi akafanya kazi na K-Michelle kwenye nyimbo kali iliyotengenezwa na producer mahiri duniani Timbaland (IF THEY KNEW) ndio akasema "Umbo la K-Michelle ndo lilimchanganya hadi akaamua kupiga nae song kama kumbukumbu duniani"


No comments:

Post a Comment