Sunday, January 18, 2015
DUUH!!! KUMBE NDOMANA RICK ROSS KAFANYA KAZI NA K-MICHELLE
Inasadikiwa kwamba sababu iliyomfanya mtu mzima Rick Ross kufanya kazi na mwanamziki K-Michelle ni kwa sababu ya umbo la mwanadada huyo. Duuh!! majarida mbalimbali nchini America yalimnukuu Rick Ross baada ya kuulizwa ni kitu kilimvutia hadi akafanya kazi na K-Michelle kwenye nyimbo kali iliyotengenezwa na producer mahiri duniani Timbaland (IF THEY KNEW) ndio akasema "Umbo la K-Michelle ndo lilimchanganya hadi akaamua kupiga nae song kama kumbukumbu duniani"
Labels:
Udaku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment